Friday, 3 October 2014


Wengi wamekuwa wakisema….sasa hivi watu wako juu, studio kibaao zimefunguliwa…
Having a studio is one thing……
 
Kuwa na studio ya audio (sauti) haina maana kuwa umefanikiwa
au umeingia ndani ya fani ya utayarishaji muziki au vipindi vya redio.

Kuna maswali ya kujiuliza kabla yakuingia studio au kutengeneza studio.

No comments:

Post a Comment