Kwanutsu kwa robo, muigizaji aliye jijengea umaarufu inchini Kenya, sasa aamua kubadili mtindo wa ucheshi katika televisheni na video kwa madhumini ya kujakutafuta soko la kazi zake nchini Tanzania. Wabongo kueni macho, kueni wabunifu ili mbaki juu katika soko la sanaa ya maonesho.
Monday, 18 October 2010
Kwanutsu kuvamia bongo...
Kwanutsu kwa robo, muigizaji aliye jijengea umaarufu inchini Kenya, sasa aamua kubadili mtindo wa ucheshi katika televisheni na video kwa madhumini ya kujakutafuta soko la kazi zake nchini Tanzania. Wabongo kueni macho, kueni wabunifu ili mbaki juu katika soko la sanaa ya maonesho.
Subscribe to:
Posts (Atom)